Wednesday, 28 May 2014

MASTAA BONGO MUVI WAMLILIA RECHO;mtizame mume wake akitia huzuni



MASTAA BONGO MUVI WAMLILIA RECHO;mtizame mume wake akitia huzuni

Mume wa Rachel aitwaye Saguda akiwa na majonzi.
Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere akilia kwa uchungu.


Huzuni tele ikiwa imetawala wasanii waliokuwa viwanja ya Leaders.
Bi. Mwenda akilia kwa uchungu.
Mwigizaji Johari akiwa na huzuni.
Cathy Rupia  akiomboleza.
Steve akizungumza na wanachama wa Bongo Muvi, viwanja vya Leaders.
Wasanii wa Bongo Muvi wakiwa Muhimbili baada ya kupata habari za kifo cha mwenzao.
MASTAA
wa Bongo Muvi wamemlilia msanii mwenzao, Rachel Haule 'Recho'
aliyefariki jana saa mbili usiku katika Hospitali ya Taifa Muhimbili
jijini Dar baada ya kujifungua ambapo mtoto wake alifariki muda mfupi na
baadaye yeye akafariki.
Kwa
mujibu  wa mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve ‘Nyerere’, mwili wa Rachel
utasafirishwa kwenda kwao Songea kwa ajili ya maziko.  Habari nyingine
za msiba zitatolewa wakati wowote na mtandao huu mara tu zinapopatikana.

No comments:

Post a Comment