Wednesday, 28 May 2014

Leo ni Kumbukumbu ya mwaka 1 toka Albert Mangwea afariki






Home » Ent. » Leo ni Kumbukumbu ya mwaka 1 toka Albert Mangwea afariki.

 


Leo ni Kumbukumbu ya mwaka 1 toka Albert Mangwea afariki.


ngweaIlikua
ni mchana May 28 2013 ndipo zilipotoka taarifa ambazo kulingana na
ukubwa wa jina la mangwea Tanzania hakuna aliyekua tayari kuamini kama
ni kweli Mangwea kafariki dunia,zilianza taratibu za kuthibitisha
taarifa hizi ambapo baadae ilithibitika kweli Mangwea amefariki dunia.


ripMpaka
sasa ripoti kutoka hospitali ya South Africa familia haijawa tayari
kuiweka wazi,kutoka Morogoro nimepata taarifa kuwa leo kutakuwa na ibada
asubuhi kisha jioni kutakua na tamasha la kumkumbuka Mangwea ambapo
itakua ni kumchangia mama yake Mangwea na imeandaliwa na baadhi ya wadau
wa Morogoro na kupata baraka toka kwa Familia ya Mangwea.


IMG-20140525-WA0001

No comments:

Post a Comment