JUA SABABU TANO ZA KUKAUKA KWA UKE WAKATI WA KUFANYA MAPENZI
Swala
la kukauka kwa uke mara baada ya mwanake kufika kileleni ni la kwaida
kwa wanawake wengi na huwa na sababu mbali mbali ambazo mimi nitakutajia
kwa kifupi tu kamaifuatavyo:-
la kukauka kwa uke mara baada ya mwanake kufika kileleni ni la kwaida
kwa wanawake wengi na huwa na sababu mbali mbali ambazo mimi nitakutajia
kwa kifupi tu kamaifuatavyo:-
- Mwanamke huitaji kunyegeshwa tena baada ya bao lake la kwanza, inategemea
lilipopatikana kama kwenye Kipele G, Kwenye Kisimi, Mwisho wa Uke au
kuta za uke. Ikiwa amepata bao "via" kisimi hapo lazima atahiji muda
kidogo wa kupumzika kama dakika kumi 5+ kisha wewe mpenzi wake ni wajibu
wako kumnyegesha tena kwa kucheza na sehemu nyngine za mwili wake mbali
na Kisimi. Inaweza kuwa kum-busu, kumla denda huku unamshika-mshika na
kadhalika. - Mwanamke
kuwa na uwezo mdogo wa kungonoka (low sex drive/libido) ni wazi kuwa
hamjuani hivyo yawezekana yeye yuko hivyo na mara baada ya wewe kupiga
bao la kwanza kisha kurudi na "kumpigisha" yeye bao lake ndio ilikuwa
mwisho wa "game" mpaka kesho au labda wiki ijayo kama sio mwezi ujao.
Kama ulihitaji tena kwenda basi ulitakiwa kumfaya aendelee kuwa
"interested" kiakili nakimazingira zaidi ya kimwili na pia ungepaswa
kutumia kilainisho kwa ajili ya Condom au hata K-Y Jel. - Mwanamke
kutokuvutiwa na ufanyaji wako, kama ulivyosema kuwa ilikubidi uache
nje-ndani, swala l a kungonoana ni pana na sio kusimamisha kisha kupiga
nje-ndani mwanzo mpaka mwisho >>( Kuna wanawake kibao baada ya
kibaruti cha kwanza inabidi uanze upya kuwatuliza a.k.a kuwa NYEGELESHA.
Dawa yake kwa wengi usikazanie NJe ndani Nje ndani sana kama
ushambarutisha tayari. Cheza sindimba au msondongoma katika mduara bila
kuvuta filimbi nje wakati unaASALISHA mambo mengine! Baada yamuda kadhaa
wakati unahisi au unasikia pumzi fulani ndio endeleza pupa kama
navyohisi unafanya. Hii hasa kama unacheza mkao wa kimishenari
).<< - Mwanamke
kutokuwa na mapenzi pia inaweza kuwa sababu ya Uke wake kuwa mkavu mara
baada ya zile nyege mshindo kumalizika/kumtoka (baada ya yeye kufikia
Mshindo), mwanamke kama hana mapenzi huishiwa hamu ya kuendelea
kungonoka haraka sana mara tu baada ya bao lake la kwanza. - Kuchoka
au Uvivu, mwanamke kama kachoka au mvivu hali hiyo ya ukavu ukeni
hujitokeza kwa vile akili yake inakuwa haipo/haizingatii
kilekinachofanyika bali saa ngapi atapata nafasi ya kwenda
kulala/pumzika.Condom
huwa hazisababishi Uke kukauka tena japokuwa inashauriwa kubadili au
kutumia kilainisho kilichotengenezwa kwa ajili hiyo. Makampuni mengi ya
bidhaa hzi yanatoa mafuta maalum kabisa kwa ajili ya kukuongezea ile
hali ya ulaini amabo unakulinda wewe kwa kuzuia Condom
kupasuka/chanikakutokana na ukavu wa Uke na vilevile kumuongezea
mwanamke raha ya tendo.Condoms
hazimsababishii mwanamke maumivu bali ile hali ya wewe kumfanya
mwanamke mwenye uke mkavu kwa muda mrefu ndio inasababisha maumivu.Ili
ufurahie Ngono basi ni vema ukatafuta mwanamke mmoja umpendae na yeye
akupende na mfanye tendo kwa ushirikiana na kumbuka ku-focus kwenye
kufurahia tendo zaidi kuliko kupiga mabao na mambo yatakuwa bomba
kabisa.

No comments:
Post a Comment