P.FUNK ATEMBELEA KABURI LA NGWEA

P-Funk
Majani ameongoza msafara wa watu mbalimbali mashuhuri kwenda Morogoro
kuadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha Albert Mangwair. Tazama picha
hizi za producer huyo akiwa na watu wengine kwenye kaburi la Ngwair.



No comments:
Post a Comment