Huyu Ndio Msanii Aliyejitoa Kwenye Record Lebel Ya Jay Z
mmoja ya wasanii wakali kwenye himaya yake, Huyu M.I.A ni msanii mwenye kipaje tofauti na wasanii wengine na kama hufatili vitu adimu kwenye game basi kazi zake zimekupita.
M,I,A Alikuwa chini ya usimamizi wa Roc Nation na alikuwa akisimamiwa kama msanii na kazi zake. Msanii huyu alitangaza kupitia kurasa yake ya Twitter kuwa " Anaondoka Roc Nation na anatoa shukrani zake kwa wote waliompa nguvu kupitia kazi yake ya MATANGI "
M.I.A Mwenye miaka 38 alianza kufanya kazi na Jay-Z mwezi May mwaka 2012 na kujiunga na wasanii kama Rihanna, J. Cole, Meek Mill na Wale

No comments:
Post a Comment