Saturday, 25 January 2014

Diamond na Hamisa Mobeto wadaiwa kuwa ni Wapenzi wa muda mrefu....Wema Sepetu ashauriwa kufungasha virago

Diamond na Hamisa Mobeto wadaiwa kuwa ni Wapenzi wa muda mrefu....Wema Sepetu ashauriwa kufungasha virago










Hamisa Hassan Mobeto ambaye ni model na actress anayekimbiza katika tasnia
ya filamu nchini anadaiwa kuwa mapenzini na Diamond Platinumz a.k.a
Sukari ya warembo huku uhusiano wao ukidaiwa kuwa wa muda mrefu.....


Chanzo
kimoja kilichodai kuwa karibu na Hamisa
ambaye alishawahi kushiriki  katika  mashindano  ya  Miss Tanzania
kiliuambia mtandao wa Swahiliworld  kuwa   Hamisa na Diamond  ni 
wapenzi  wa  muda  mrefu  na  kwamba  Wema  Sepetu  hana  lake  kwa 
Diamond:


 
 "Hivi

mnajua kuwa Diamond anawachanganya kwa wakati mmoja Wema na Hamisa
Mobeto?, Hamisa na Diamond ni wapenzi wa muda mrefu sana lakini 
wanafanya siri...Hamisa anamwangalia tu Wema akiwewesekea penzi la
Diamond huku yeye
akijilia kivyake".Kilisema  chanzo  hicho


 




Hamisa alipotafutwa ili kutolea ufafanuzi madai hayo hakuweza kupatikana  mara  moja.


No comments:

Post a Comment