
Ni wiki kadhaa zimepita toka B Hits kutangaza kuacha kufanya kazi na rapper wa ‘baadae sana’ ambae ni Mabeste kutokana na kudaiwa kukosa nidhamu na kukiuka sehemu ya mkataba wake ambapo kufuatia malalamiko kutoka kwenye kila upande, B Hits na Mabeste walikubali kukutanishwa studio live ili kila mmoja atoe hoja live kupitia XXL ya Clouds FM.
Picha ya kwanza hapo juu ni Mabeste na mpenzi wake waliepata mtoto miezi kadhaa iliyopita.

Amani kutoka B Hits.

Picha za baadhi ya nguo ambazo Mabeste amewahi kusaidiwa na B Hits.

Hii hapa chini ndio inadaiwa kuwa msg ya vitisho aliyoituma Mabeste kwa B Hits.
No comments:
Post a Comment