Tuesday, 10 December 2013

Shilole aonesha mjengo wake,Fid Q aingia kwenye biashara ya madini


Shilole aonesha mjengo wake,Fid Q aingia kwenye biashara ya madini

Wakati ambapo Shilole anaendelea kumuomba Mungu amalizie mjengo wake uliopo Kimara jijini Dar es Salaam, Fid Q anaonesha kuzungusha mkwanja alionao kwenye biashara ya madini.
Shilole amepost Instagram picha ya nyumba yake iliyopo kwenye hatua ya mwisho kukamilika na kuandika: Mungu nisaidie nimalizie hii kitu ili watoto wangu wasije kupata tabu.”
Naye Fid Q amepost picha inayoonesha madini ya ruby na kuandika: #RubySozite #NewHustle roll a phat 1 fi ya Nig..!!!”
Bongo 5

No comments:

Post a Comment