Riyama:king‘amuzi ni funzo kwa wanaume wenye wivu na wachoyo wa chakula
Muigizaji nyota wa filamu nchini Riyama Ally amewataka wapenzi wa wakazi zake kuinunua filamu ya mpya king‘amuzi ili wajifunze njinsi ya kuishi na mwanaume mwenye wivu na uchoyo wa chakula
“Filamu ya King'amuzi imetokana ipo madukani inahusu mwanaume ana wivu wakupitiliza na uchoyo wachakula naomba wapenzi na mashabiki wangu wainunue naamini watajifunza kitu“
“Filamu ya King'amuzi imetokana ipo madukani inahusu mwanaume ana wivu wakupitiliza na uchoyo wachakula naomba wapenzi na mashabiki wangu wainunue naamini watajifunza kitu“
No comments:
Post a Comment