MAN CITY NA BAYERN WATOA HESHIMA ZAO KWA MANDELA
Manchester City pamoja na Bayern walitioa heshima kwa Nelson Mandela kabla ya kuanza mechi. Viongozi zaidi ya 100 walikusanyika kwenye uwanja wa FNB ili kumfanyia misa Nelson Mandela
Tazama picha chini uone jinsi timu hizo mbili zilivyotoa heshima zao kwa Nelson Mandela
Nelson Mandela
No comments:
Post a Comment