Nakomaa na jiji ndiyo nyimbo yake inayofanya vizuri
katika radio station pamoja television hapa
nchini.Muite Shilole Kiuno ambae pia ni staa wa
tasnia ya bongo movie.
Shilole ambae aliulizwa na Team tizniz juu ya Suma
Mnazaret kuimba katika nyimbo yake
ya Umechelewa aliyoshirikiana ana Richard na katika
wimbo huo suma alisema"Eti umeenda marekani soon
utafanya nyimbo mpya na Jlo kwa muziki gani wewe
umechelewa"Team tizniz ikamuuliza Shilole
anazungumziaje hili?
Shilole alisema"Kijana mdogo huyu anatafuta
umaarufu kupitia watu maarufu kama sisi.Hivyo sina
time ya kumjibu chochote aendelee kujipanga
kivingine.
Thursday, 28 November 2013
SHILOLE......SUMA MANAZERETI ANATAFUTA UMAARUFU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment